JERRY SILAA AYATAKA MABARAZA YA ARDHI YA KATA KUZINGATIA MABADILIKO YA SHERIA USULUHISHI WA MIGOGORO YA ARDHI
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Slaa ameyataka Mabaraza ya Ardhi ya Kata kuzingatia mabadiliko ya Sheria namba tatu ya mwaka 2021 inayoyataka Mabaraza hayo kufanya kazi…
SERIKALI KUENDELEA KUTOA VITENDANISHI ILI KUJIPIMA VVU
Waziri wa Afya Mhe. Mwalimu amesema Serikali itaendelea kutoa vitendanishi vya kijipima VVU ili kuwezesha wanachi kupata wepesi pindi wanapohitaji kujua hali zao za kiafya hasa hali ya maambukizi ya…
WAZIRI SILAA ATOA SIKU SABA KUMALIZA KERO YA URASIMISHAJI DAR ES SALAAM
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe Jerry Silaa ametoa siku saba kupatikana suluhu ya changamoto za urasimishaji makazi holela wa makazi katika mkoa wa Dar es Salaam.…
100 WENYE SARATANI 25 WANAWAKE
Na. WAF – Dar Es Salaam Serikali imetoa rai kwa jamii kuchukua hatua za mapema kupima ugonjwa wa Saratani kwa kuwa takwimu zinaonesha kuwa katika kila wagonjwa watu 100 wenye…
WAZIRI SILAA ATOA SIKU SABA KUMALIZA KERO YA URASIMISHAJI DAR ES SALAAM
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe Jerry Silaa ametoa siku saba kupatikana suluhu ya changamoto za urasimishaji makazi holela wa makazi katika mkoa wa Dar es Salaam.…
Vijana 812 waliochaguliwa kujiunga katika programu ya BBT-YIA awamu ya kwanza watajwa
Wizara ya Kilimo leo Februari 23, 2023 Jijini Dodoma imetangaza awamu ya kwanza ya majina 812 ya vijana waliochaguliwa kujiunga katika programu ya Building Better Tomorrow: Youth Initiative in Agribusiness…
WAZIRI SILAA ATAKA WANANCHI KULINDA MAENEO YA WAZI
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amewataka wananchi kuyalinda na kuyaendeleza maeneo ya wazi kulingana na matumizi yaliyopangwa. Silaa ametoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki wakati…
Upatikanaji wa Vibali vya Kusafirisha Mazao Nje ya Nchi
Serikali leo imetoa ufafanuzi kuhusu upatikanaji wa vibali vya kusafirisha mazao kwenda nje ya nchi ambapo imesisitiza kuwa vibali hivyo vinapatikana bila gharama na hakuna urasimu wowote. Akitoa ufafanuzi huo,…
Bara na Visiwani zasaini Hati ya Makubaliano Sekta ya Madini
Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko ameshuhudia utiaji saini wa Hati ya Makubaliano kati ya Wizara ya Madini ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Wizara ya Maji,…
JKCI kutibu magonjwa ya Moyo bure Siha
Taasisis ya Moyo Jakaya Kiikwete(JKCI) kwa kushirikasiana na Hospitali ya Siha iliyopo mkoani kiliman#jaro watatoa huduma ya tiba mkoba ijulikanayo kuwa Dtk Samia Suluhu Hassan Outreach Services kwa kufanya upimaji…


