Barabara zafungwa hifadhi ya Ngorongoro
Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) inapenda kuwatangazia wadau wake hususan madereva wa gari za wageni na waongoza watalii (Tour Guides) kuwa, baadhi ya barabara ndani ya Hifadhi hiyo zitafungwa…
Serikali yakemea udanganyifu Handeni
Serikali imetoa ufafanuzi kuhusu malalamiko ya madai ya kutotendewa haki kwa baadhi ya wananchi waliohama kwa hiyari katika eneo la hifadhi ya Ngorongoro kwenda katika makazi mapya ya kijiji cha…
Dr Samia kuongoza ibada ya Sokoine
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt Samia Suluhu Hassan ataongoza ibada ya kumuombea hayati Waziri Mkuu mstaafu wa tatu katika serikali ya awamu ya kwanza Bw Edward Moringe Sokoine…
Serikali ya Dkt Samia imeikwamua Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt Samia Suluhu Hassan ameelekeza kujengwa kwa reli itakayozifika nchi jirani za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo,Burundi,Rwanda na Uganda ili kuyafikia masoko ya kikanda…
Dkt Samia avunja rekodi idadi utalii
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imejiandaa kuwasilisha andiko la kitaalamu ili kuonba idhini kwa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu,Sayansi na Utamaduni (UNESCO) ili kupata idhini ya…
Dkt Samia kusikiliza kero za wananchi kila mwezi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mh Dkt Samia Suluhu Hassan ameamua kuweka utaratibu wa kuwasilikiliza na kutatua kero mbalimbali zinazowakabiri wananchi bila ya ubaguzi katika ofisi ndogo ya Chama…
Makamu wa Rais aagiza Wizara ya Viwanda kushughulikia changamoto ya soko la matunda
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Philip Mpango ameigiza Wizara ya Viwanda na Biashara kwa kushirikiana na uongozi wa mkoa wa Tanga kuchukua hatua za…
BOT yabaini vishoka
Benki Kuu ya Tanzania haitambui taasisi, kampuni na watu binafsiwanaojitangaza kuwa mawakala au washauri elekezi (consultants) wanaotoa huduma yakusaidia waombaji kupata leseni au usajili wa watoa huduma ndogo za fedha,…
Kampuni 18 za Kitanzania zimeanza kufanya biashara katika Eneo Huru la Biashara Barani Afrika (AfCFTA)
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji amesema kuwa Kampuni 18 za Kitanzania zimeanza kufanya biashara na zimepeleka biashara mara 17 kwenye nchi tano zilizopo katika ndani ya…
Tanzania kushiriki mkutano wa COP 28 Dubai
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuongoza Ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa 28 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa…









