Sat. Jun 14th, 2025

Sokoine achaguliwa Kamati kuu CCM

Mtoto wa aliyekuwa Waziri Mkuu,Mstaafu hayati,Edward Moringe Sokoine,ndugu Namelock Edward Sokoine amechaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCM Taifa(NEC) kuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi Taifa. Taarifa iliyotolewa…

Dkt Molel awaita wagonjwa wa macho

Taasisi ya Dkt. Godwin Mollel kwa kushirikiana na Mo Dewji Foundation zimetoa huduma ya bure ya matibabu ya macho kwa wananchi zaidi ya 3,000 katika Hospitali ya Wilaya ya Siha,…

Rais Chapo kuongeza fursa Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Daniel Francisco Chapo anatarajia kuanza Ziara ya kiserikali ya siku tatu kuanzia 07,Mei,2025,nchini Tanzania kufuatia mwaliko wa Rais wa Tanzania,Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan. Taarifa…

MABEYO: WAKIJA WATAFURAHIA MAISHA

Na Mwandishi wetu, Msomera Tanga. Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) inafuatilia kwa karibu ujenzi wa miundombinu ikiwemo makazi na huduma zingine za mahitaji…

UNFPA yapinga vifo vinavyoweza kuzuilika

Jamii inapaswa kupata haki ya afya ya uzazi,uwezeshaji wa wanawake na wasichana ili kuweka mazingira endelevu kwa kutatua changamoto mbalimbali zinazowzakabili kulingana na kutokuwepo kwa ulinganifu katika usawa wa kijinsia.…