RAIS SAMIA KUTOA UJUMBE WA MIAKA 62 YA UHURU MKUTANO MKUU WA DIRA YA MAENDELEO YA TAIFA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kutoa ujumbe maalum katika kuadhimisha miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania katika Mkutano Mkuu wa Kwanza wa…
“UNYANYASAJI WA KIJINSIA HAUNA NAFASI KATIKA NCHI YETU” DKT. CHANA
Na William Mabusi – WKS Dodoma Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) amesema Tanzania inaweza kusonga mbele na kushinda vita dhidi ya Ukatili wa Kijinsia…
NCHI IKITAWALIWA NA RUSHWA HAIWEZI KUFIKIA MALENGO-BI. MAKONDO
Na William Mabusi – WKS Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Mary Makondo amezitaka Taasisi za Serikali na Sekta Binafsi kuweka mazingira ya kuzuia rushwa, kuepuka…
WAZIRI GWAJIMA AKAGUA FUKWE NA VITUO VYA MASAJI KUBAINI VICHOCHEO VYA MMOMONYOKO WA MAADILI
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amewaomba viongozi wa Mamlaka za Mikoa na Serikali za Mitaa zenye fukwe nchini kuhakikisha wanafuatilia na…
MABADILIKO YA TABIA NCHI YAONGEZA MAGONJWA YA MILIPUKO
Mwandishi wetuDubai Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameshiriki katika kikao cha Mabadiliko ya tabia nchi na Afya ngazi ya Mawaziri wa Afya kutoka nchi wanachama wa Shirika la Afya Duniani.…
TUSIWAFICHE WATOTO WENYE USONJI- DKT. MOLLEL
NAIBU Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel ametoa wito kwa wananchi kutowaficha watoto wenye changamoto ya Usonji (autism) kwani wakipata malezi na mafunzo mazuri watasaidia kuleta matokeo chanya katika jamii.…
Tanzania na Romania kuboresha kilimo
Tanzania na Romania zimetia saini Hati mbili za makubaliano moja ikihusu kukuzaushirikiano wa kiuchumi kisayansi na kiufundi katika sekta ya kilimo na mazingira. Utekelezaji wa fursa zilizopo utajikita katika maeneo…
Dr Wilbroad Slaa avuliwa hadhi ya Ubalozi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Samia Suluhu Hassan amemvua hadhi ya ubalozi aliyekuwa balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dr Wilbroad Peter Slaa Taarifa ya Kurugenzi ya mawasiliano…