Dkt Samia: Zingatieni dira ya Taifa 2050
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa madhehebu ya dini nchini kuendelea kuliombea Taifa ili kudumisha amani na utulivu uliopo pamoja na…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa madhehebu ya dini nchini kuendelea kuliombea Taifa ili kudumisha amani na utulivu uliopo pamoja na…
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Ubeligiji nchini Tanzania, Mhe. Peter Huyghebaert, ambapo wamezungumza kuhusu kuendeleza ushirikiano wa kimaendeleo kati…
Kamishna wa Uhifadhi, Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA), Bw. Abdul-Razaq Badru ameungana na viongozi wengine walioteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungaano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu…
Dodoma (Mfanyakazi). Serikali imeeleza kuwa inaendelea kuchukua hatua madhubuti za kuhakikisha wananchi wasio na uwezo wanapata huduma za afya bila kikwazo cha fedha, kwa mfumo utakaofanana na utoaji wa elimu…
Mtoto wa aliyekuwa Waziri Mkuu,Mstaafu hayati,Edward Moringe Sokoine,ndugu Namelock Edward Sokoine amechaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCM Taifa(NEC) kuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi Taifa. Taarifa iliyotolewa…
Taasisi ya Dkt. Godwin Mollel kwa kushirikiana na Mo Dewji Foundation zimetoa huduma ya bure ya matibabu ya macho kwa wananchi zaidi ya 3,000 katika Hospitali ya Wilaya ya Siha,…
Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Daniel Francisco Chapo anatarajia kuanza Ziara ya kiserikali ya siku tatu kuanzia 07,Mei,2025,nchini Tanzania kufuatia mwaliko wa Rais wa Tanzania,Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan. Taarifa…
Na Mwandishi wetu,Arusha Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) Dkt. Elirehema Doriye leo t ameiongoza Menejimenti ya Mamlaka hiyo kwenye zoezi la kiapo cha…
Na Mwandishi wetu, Msomera Tanga. Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) inafuatilia kwa karibu ujenzi wa miundombinu ikiwemo makazi na huduma zingine za mahitaji…
Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Mhe.Riziki Pembe Juma ameelezea jukumu la kumlinda mtoto juu ya matukio mbalimbali ya ukatili sio la Serikali pekee bali ni la…