Ofisi Ya Makamu Wa Rais, Iucn Wakutana Na Kamati Za Maliasili Na Mazingira Za Vijiji 31
Ofisi ya Makamu wa Rais kwa kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira (IUCN) imeendesha mafunzo kwa kamati za maliasili na mazingira za vijiji 31 kutoka Kata 10…
Uwajibikaji katika Uandishi wa Habari Unasaidia kuleta Mapinduzi katika Kilimo na Kulinda Usalama wa Chakula
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema serikali inatambua mchango wa Wanahabari unaosaidia kutangaza teknolojia zinazochangia katika mabadiliko endelevu ya Kilimo Barani Afrika. Prof. Mkenda ametoa kauli…
Wananchi Katesh, waishukuru serikali kwa vifaa vya msaada wa kibinadamu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama amesema misaada yote inayotolewa na wadau mbalimbali itawafikia walengwa walioathirika wa poromoko ya matope kutoka Mlima…
Rais Dkt. Samia ataka mikakati kuwawezesha wanawake kibiashara
MHESHIMIWA Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka washiriki wa kongamano Pili la Wanawake katika Biashara ndani ya Eneo Huru la Biashara Barani Afrika kujadili namna ya kuwezesha ushiriki imara wa…
MAJERUHI WA MAFURIKO YA HANANG WOTE WAMETIBIWA MANYARA BILA YA RUFAA.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Tulia Ackson ameipongeza Serikali kupitia Wizara ya Afya kwa uboreshaji wa huduma za afya nchini na kufanya majeruhi wote…
WATUMISHI WAHIMIZWA KUSHUGHULIKIA MFUMO WA e-MREJESHO
Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. Xavier Daudi amesema mafunzo ya kutumia mfumo wa e-Mrejesho ni ajenda na kiashiria muhimu cha matumizi ya TEHAMA…
MBEYA YASHIRIKI KAMPENI YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA MITANDAONI
Mwinga Mpoli – Mahakama, Mbeya Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Mbeya, Mhe. Dustan Ndunguru amewakumbusha wadau juu ya makosa yanayotendeka kimtandao na kuwa nchi ilitunga sheria…
Vilabu vya ligi kuu vyatakiwa kuwa na bima
Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amelielekeza Baraza la Michezo la Taifa “BMT” kuhakikisha kuwa ifikapo Januari, 2024 kila klabu ya ligi kuu ya NBC iwe…
WAZIRI UTAWALA BORA AHIMIZA KUZUIA RUSHWA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora-Mhe. George Simbachawene (MB), amefungua Jukwaa la Kitaifa la Wadau wa Juhudi Dhidi ya Rushwa lililofanyika Jijini…
TAKUKURU NA TET YASAINI MOU
Oktoba 18, 2023, Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU CP. Salum Rashid Hamduni pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania – TET Dkt Aneth Komba, wamesaini MoU ya kushirikiana kuzuia…