Klabu ya Yanga yatoa msaada Katesh
Rais wa Young Africans SC na Mwenyekiti wa vilabu vya Soka Barani Afrika (ACA) Mhandisi Hersi said Desemba 5, 2023 ametembelea eneo la mafuriko katika kijiji cha Katesh wilaya ya…
HAKI NDIYO MOYO WA UTAWALA: JAJI SAMATTA
Na FAUSTINE KAPAMA-Mahakama, Dar es Salaam Jaji Mkuu wa Tanzania mstaafu, Mhe. Barnabas Albert Samatta amesema haki ndiyo moyo wa utawala na kamwe haiwezi kutenganishwa na amani ya Nchi. Mhe.…
Waziri Jafo awakabidhi Tuzo ya Uongozi Wanawake Wafugaji
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt Selemani Jafo amekabidhi Tuzo ya ‘Wanawake katika Uongozi’ kwa Baraza la Wanawake Wafugaji (PWC) Tanzania baada ya…
NIGERIA YAPONGEZA SERIKALI YA AWAMU YA SITA
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk akisalimiana na Balozi wa Nigeria nchini, Mhe. Hamisu Umar Takamawa alipokuwa akimuga katika Ofisi…
Dk. Mwinyi amewataka wahitimu kuchangia Maendeleo ya nchi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka wahitimu wa vyuo vikuu kutumia elimu zao, kuchangia Maendeleo ya nchi kwa nafasi mbalimbali za taaluma…
Waziri Mkuu ateta na waathirika, nao wanena
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewatembelea watu walioathiriwa na mafuriko ya tope na mawe katika mji mdogo wa Katesh, wilaya ya Hanang, mkoani Manyara na kuwapa salamu za pole kutoka kwa…
Kamati ya Kudumu ya Bunge yaridhia utendaji taasisi ya elimu.
Na Timoth Anderson Kamati ya kudumu ya Bunge ya Elimu,Utamaduni na Michezo imeridhishwa na utekelezaji na usimamizi wa programmu na miradi mbalimbali inayotekelezwa na Taasisi ya Elimu ya watu Wazima…
Waziri Mkuu ashuhudia kazi ya kuzoa tope ikianza
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa leo (Jumanne, Desemba 5, 2023) ameshuhudia kazi ya kusomba matope kwenye mji mdogo wa Katesh, wilayani Hanang, mkoani Manyara, ikianza kwenye barabara kuu ya kutoka Babati…
Waliofariki katesh wafika 63, majeruhi 116
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema idadi ya watu waliokufa kutokana na maporomoko ya udongo wilayani Hanang, mkoani Manyara imefikia 63 na majeruhi 116. “Kati ya waliofariki wanaume ni 23 na…
IFM YATAKIWA KUBUNI NA KUBORESHA MITAALA YAO
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande, akizungumza na wahitimu wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) wakati wa Mahafali ya 49 ya chuo hicho yaliyofanyika, jijini Dar es…