Sat. May 16th, 2026

Dkt Molel awaita wagonjwa wa macho

Taasisi ya Dkt. Godwin Mollel kwa kushirikiana na Mo Dewji Foundation zimetoa huduma ya bure ya matibabu ya macho kwa wananchi zaidi ya 3,000 katika Hospitali ya Wilaya ya Siha,…

Rais Chapo kuongeza fursa Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Daniel Francisco Chapo anatarajia kuanza Ziara ya kiserikali ya siku tatu kuanzia 07,Mei,2025,nchini Tanzania kufuatia mwaliko wa Rais wa Tanzania,Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan. Taarifa…

MABEYO: WAKIJA WATAFURAHIA MAISHA

Na Mwandishi wetu, Msomera Tanga. Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) inafuatilia kwa karibu ujenzi wa miundombinu ikiwemo makazi na huduma zingine za mahitaji…

UNFPA yapinga vifo vinavyoweza kuzuilika

Jamii inapaswa kupata haki ya afya ya uzazi,uwezeshaji wa wanawake na wasichana ili kuweka mazingira endelevu kwa kutatua changamoto mbalimbali zinazowzakabili kulingana na kutokuwepo kwa ulinganifu katika usawa wa kijinsia.…

Makamu wa Rais aagiza udhibiti Tasaf

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla amewataka watendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF kuhakikisha fedha zinazotolewa kwa ajili ya wananchi zinalindwa na kutumika ipasavyo…