Dkt Molel awaita wagonjwa wa macho
Taasisi ya Dkt. Godwin Mollel kwa kushirikiana na Mo Dewji Foundation zimetoa huduma ya bure ya matibabu ya macho kwa wananchi zaidi ya 3,000 katika Hospitali ya Wilaya ya Siha,…
Rais Chapo kuongeza fursa Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Daniel Francisco Chapo anatarajia kuanza Ziara ya kiserikali ya siku tatu kuanzia 07,Mei,2025,nchini Tanzania kufuatia mwaliko wa Rais wa Tanzania,Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan. Taarifa…
DKT. DORIYE AONGOZA KIAPO CHA AHADI YA UADILIFU KWA VIONGOZI WA UMMA.
Na Mwandishi wetu,Arusha Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) Dkt. Elirehema Doriye leo t ameiongoza Menejimenti ya Mamlaka hiyo kwenye zoezi la kiapo cha…
MABEYO: WAKIJA WATAFURAHIA MAISHA
Na Mwandishi wetu, Msomera Tanga. Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) inafuatilia kwa karibu ujenzi wa miundombinu ikiwemo makazi na huduma zingine za mahitaji…
UNFPA yapinga vifo vinavyoweza kuzuilika
Jamii inapaswa kupata haki ya afya ya uzazi,uwezeshaji wa wanawake na wasichana ili kuweka mazingira endelevu kwa kutatua changamoto mbalimbali zinazowzakabili kulingana na kutokuwepo kwa ulinganifu katika usawa wa kijinsia.…
Saidieni wajane kiuchumi-Mhe Fatma
Taasisi za Serikali na binafsi zimeombwa kushiriki juhudi za kuwawezesha wajane kliuchumi zinazofanywa na Jumuia ya Wajane Zanzibar (ZAWIO). Wito huo umetolewa na Jaji wa Mahakama kuu Zanzibar Mhe. Fatma…
Wanaoishi na maradhi ya kuambukiza wafanyiwe uchunguzi wa maradhi yasiyoambukiza-Mbatia
Mashirikiano ya pamoja baina ya wadau wa afya nchini yatasaidia kuleta mabadiliko ya huduma za afya kwa wagojwa wanaoishi na maradhi ya kuambuzi pamoja na maradhi yasioambukiza. Mkurugenzi wa Tanzania…
Tupige vita ndoa za utotoni-Mhe Waziri
Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Mhe.Riziki Pembe Juma ameelezea jukumu la kumlinda mtoto juu ya matukio mbalimbali ya ukatili sio la Serikali pekee bali ni la…
Dkt Pindi asisitiza usalama wa hifadhi ya Ngorongoro
Wizara ya Maliasili na Utalii imeielekeza menejimenti ya Hifadhi ya Ngorongro (NCAA) kuendelea kutekeleza jukumu la kuwaelimisha wananchi ili wahame kwa hiari kwa ajili ya kuimarisha shughuli za uhifadhi na…
Makamu wa Rais aagiza udhibiti Tasaf
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla amewataka watendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF kuhakikisha fedha zinazotolewa kwa ajili ya wananchi zinalindwa na kutumika ipasavyo…








