Dkt Pindi asisitiza usalama wa hifadhi ya Ngorongoro
Wizara ya Maliasili na Utalii imeielekeza menejimenti ya Hifadhi ya Ngorongro (NCAA) kuendelea kutekeleza jukumu la kuwaelimisha wananchi ili wahame kwa hiari kwa ajili ya kuimarisha shughuli za uhifadhi na…









