Vijana 812 waliochaguliwa kujiunga katika programu ya BBT-YIA awamu ya kwanza watajwa
Wizara ya Kilimo leo Februari 23, 2023 Jijini Dodoma imetangaza awamu ya kwanza ya majina 812 ya vijana waliochaguliwa kujiunga katika programu ya Building Better Tomorrow: Youth Initiative in Agribusiness…
WAZIRI SILAA ATAKA WANANCHI KULINDA MAENEO YA WAZI
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amewataka wananchi kuyalinda na kuyaendeleza maeneo ya wazi kulingana na matumizi yaliyopangwa. Silaa ametoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki wakati…
Upatikanaji wa Vibali vya Kusafirisha Mazao Nje ya Nchi
Serikali leo imetoa ufafanuzi kuhusu upatikanaji wa vibali vya kusafirisha mazao kwenda nje ya nchi ambapo imesisitiza kuwa vibali hivyo vinapatikana bila gharama na hakuna urasimu wowote. Akitoa ufafanuzi huo,…
Bara na Visiwani zasaini Hati ya Makubaliano Sekta ya Madini
Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko ameshuhudia utiaji saini wa Hati ya Makubaliano kati ya Wizara ya Madini ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Wizara ya Maji,…
JKCI kutibu magonjwa ya Moyo bure Siha
Taasisis ya Moyo Jakaya Kiikwete(JKCI) kwa kushirikasiana na Hospitali ya Siha iliyopo mkoani kiliman#jaro watatoa huduma ya tiba mkoba ijulikanayo kuwa Dtk Samia Suluhu Hassan Outreach Services kwa kufanya upimaji…
WAKULIMA MILIONI 2 WASAJILIWA KWENYE MFUMO WA M- KILIMO – BASHE
Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amesema wizara imefanikiwa kutekeleza agizo la Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu utambuzi wa wakulima ambapo hadi sasa kupitia Mfumo wa M-Kilimo tayari wakulima 1,979,662…
COCOBA KISAKI YAIKOSHA TIMU YA WATAALAM, BENKI YA DUNIA.
Timu ya Wataalam kutoka Benki ya Dunia inayoendelea na kazi yake ya kutadhmini utekelezaji wa mradi wa Kuboresha Usimamizi wa Maliasili na Kukuza Utalii Kusini mwa Tanzania (REGROW), umevutiwa na…
John McEnroe Ashinda Tennis Serengeti, Watuma Salaam za Pole Hanang
Mcheza Tennis mashuhuri duniani, John McEnroe, ameshinda kwa mara ya kwanza mchezo maalum wa Tennis Serengeti baada ya kumpiku mchezaji mwingine nguli ambaye ni mdogo wake Bw. Patrick McEnroe. Mchezo…
Tanzania na India kuandaa mbio za kudumisha uhusiano
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa India nchini Tanzania, Mhe. Binaya Pradhan ambapo pamoja na mambo mengine viongozi hao…
Klabu ya Simba yatoa msaada kwa wahanga Katesh
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amepokea vyakula na bidhaa mbalimbali Desemba 5, 2023 jijini Dar es Salaam ikiwemo sukari, sabuni, unga wa ngano na Maji…