Uoto wa asili unapungua visiwani Zanzibar-Waziri
Jamii imetakiwa kushiriki katika kupanda na kusimamia miti inayopandwa ili kuimarisha uchumi wa kijani kwa faida ya sasa na kizazi kijavyo. Wito huo umetolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya…
UNESCO WAHITIMISHA ZIARA YA KUKAGUA MAENEO YA HIFADHI YA JIOLOJIA YA NGORONGORO LENGAI UNESCO GLOBAL GEOPARK.
Na Kassim Nyaki, NCAA. Wataalamu wa UNESCO waliowasili nchini mapema wiki hii kwa ajili ya uthibitishaji upya (Revalidation) wa Hifadhi ya kijiolojia ya “Ngorongoro Lengai UNESCO Global Geopark” na kutembelea…
Pandeni miti mkisheherekea siku za kuzaliwa
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis amewasisitiza Watanzania kuwa na utamaduni wa kupanda miti ili kutunza mazingira. Ametoa wito huo wakati wa…
Mitawi: Mradi wa EMA utaongeza uwezo wa kuimarisha uzingatiaji wa Sheria ya Mazingira
Kamati ya Usimamizi wa Mradi wa Kuimarisha Uwezo wa Kitaasisi wa Utekelezaji wa Sheria ya Usimamizi wa Mazingira (EMA) imekutana kwa ajili ya kupitia taarifa za utekelezaji wa mradi huo.…
WANYAMA WAKALI TISHIO KWA WANANCHI WANAOISHI HIFADHI YA NGORONGORO.
Na Mwandishi wetu, Ngorongoro. Wananchi wa tarafa ya Ngorongoro wilayani Ngorongoro wameendelea kuishi maisha magumu kutokana na Kushambuliwa na wanyama wakali kufuatia matukio yanayoendelea kutokea katika eneo hilo. Afisa tarafa…
Makamu wa Rais awashukia wakandarasi
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla amewataka wakandarasi wanaopewa dhamana ya kujenga Miradi ya Maendeleo Zanzibar kuheshimu Mikataba ya makubaliano wanayokubaliana kati ya Serikali na Kampuni…
TUTAONGEZA KASI ZAIDI YA MAENDELEO KABLA YA UCHAGUZI MKUU-DKT.MWINYI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaongeza kasi zaidi kukamilisha miradi ya maendeleo kupitia utekelezaji wa ilani…
NCAA yazikaribisha Ngorongoro Taasisi na Mashirika yanayopotosha uhamaji kwa hiari
Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) imezitaka baadhi ya taasisi na mashirika yasiyo ya kiserikali kutoka ndani na nje ya nchi kuacha upotoshaji na kutafuta ukweli kuhusu zoezi…
Madaktari wa China watoa mafunzo ya Saratani
TIMU ya 33 ya Madaktari kutoka China, imesema, itaendelea kuwapatia mafunzo wanafunzi wa kada ya afya wa Chuo cha Sayansi za Tiba na wataalamu wa afya ili waweze kutoa huduma…
Dk Mwinyi aanzisha Mfuko wa Hijja
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imekubalina na Serikali ya Saudi Arabia kuwa na akaunti mbili za pamoja chini ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uendeshaji wa safari za…