SERIKALI YAJA NA MKAKATI WA KUTOA HUDUMA ZA AFYA BURE KWA WANANCHI WASIO NA UWEZO
Dodoma (Mfanyakazi). Serikali imeeleza kuwa inaendelea kuchukua hatua madhubuti za kuhakikisha wananchi wasio na uwezo wanapata huduma za afya bila kikwazo cha fedha, kwa mfumo utakaofanana na utoaji wa elimu…