Sun. Jun 15th, 2025

Author: Na, Mwandishi wetu

Makamu wa Rais aagiza udhibiti Tasaf

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla amewataka watendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF kuhakikisha fedha zinazotolewa kwa ajili ya wananchi zinalindwa na kutumika ipasavyo…

MAMIA WAHAMA HIFADHI YA NGORONGORO

Na Mwandishi wetu, Ngorongoro Muitikio wa wananchi wanaoishi katika eneo la hifadhi ya Ngorongoro kuendelea kuhama kwa hiari umepamba moto ambapo leo tarehe 22 Agosti, 2024 jumla ya kaya 79…

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 27 Novemba

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Tanzania Bara utafanyika kwa wagombea wa nafasi mbalimbali ikiwemo za Mwenyekiti wa Serikali za Mitaa,Mwenyekiti wa kijiji,Mwenyekiti wa Kitongoji,wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji (kundi mchanganyiko…