MABADILIKO YA TABIA NCHI YAONGEZA MAGONJWA YA MILIPUKO
Mwandishi wetuDubai Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameshiriki katika kikao cha Mabadiliko ya tabia nchi na Afya ngazi ya Mawaziri wa Afya kutoka nchi wanachama wa Shirika la Afya Duniani.…
TUSIWAFICHE WATOTO WENYE USONJI- DKT. MOLLEL
NAIBU Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel ametoa wito kwa wananchi kutowaficha watoto wenye changamoto ya Usonji (autism) kwani wakipata malezi na mafunzo mazuri watasaidia kuleta matokeo chanya katika jamii.…
Tanzania na Romania kuboresha kilimo
Tanzania na Romania zimetia saini Hati mbili za makubaliano moja ikihusu kukuzaushirikiano wa kiuchumi kisayansi na kiufundi katika sekta ya kilimo na mazingira. Utekelezaji wa fursa zilizopo utajikita katika maeneo…
Dr Wilbroad Slaa avuliwa hadhi ya Ubalozi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Samia Suluhu Hassan amemvua hadhi ya ubalozi aliyekuwa balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dr Wilbroad Peter Slaa Taarifa ya Kurugenzi ya mawasiliano…