Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 27 Novemba
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Tanzania Bara utafanyika kwa wagombea wa nafasi mbalimbali ikiwemo za Mwenyekiti wa Serikali za Mitaa,Mwenyekiti wa kijiji,Mwenyekiti wa Kitongoji,wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji (kundi mchanganyiko…