Uchangiaji damu hauna mbadala-Mh Waziri
Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Zanzibar Mhe. Riziki Pembe Juma amesema Shughuli za uchangiaji damu ni miongoni mwa mambo ya muhimu yanayotakiwa kupewa kipaumbele kutokana na…
Afya
Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Zanzibar Mhe. Riziki Pembe Juma amesema Shughuli za uchangiaji damu ni miongoni mwa mambo ya muhimu yanayotakiwa kupewa kipaumbele kutokana na…
Naibu Waziri wa Afya Zanzibar,Mhe. Hassan Khamis Hafidh amesema kuwepo kwa wanasaikoljia nchini kutasaidia jamii kuondokana na msongo wa mawazo na kuugua afya ya akili. Akizungumza katika kongamano la wanafunzi…
Na. WAF – Dar Es Salaam Serikali imetoa rai kwa jamii kuchukua hatua za mapema kupima ugonjwa wa Saratani kwa kuwa takwimu zinaonesha kuwa katika kila wagonjwa watu 100 wenye…
Waziri wa Afya Mhe. Mwalimu amesema Serikali itaendelea kutoa vitendanishi vya kijipima VVU ili kuwezesha wanachi kupata wepesi pindi wanapohitaji kujua hali zao za kiafya hasa hali ya maambukizi ya…
Taasisis ya Moyo Jakaya Kiikwete(JKCI) kwa kushirikasiana na Hospitali ya Siha iliyopo mkoani kiliman#jaro watatoa huduma ya tiba mkoba ijulikanayo kuwa Dtk Samia Suluhu Hassan Outreach Services kwa kufanya upimaji…
SERIKALI kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu imechukua hatua za haraka kwa wahanga wa maafa yaliyosababishwa na maporomoko ya tope yaliyotokea tarehe 03 Disemba, 2023 ambapo yalitoka…
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Tulia Ackson ameipongeza Serikali kupitia Wizara ya Afya kwa uboreshaji wa huduma za afya nchini na kufanya majeruhi wote…
NAIBU Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel ametoa wito kwa wananchi kutowaficha watoto wenye changamoto ya Usonji (autism) kwani wakipata malezi na mafunzo mazuri watasaidia kuleta matokeo chanya katika jamii.…
Mwandishi wetuDubai Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameshiriki katika kikao cha Mabadiliko ya tabia nchi na Afya ngazi ya Mawaziri wa Afya kutoka nchi wanachama wa Shirika la Afya Duniani.…