MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA WAOMBWA KUTOA UJUZI KWA WATAALAM WA VITUO
Dar es Salaam(Juni 09, 2025,)Madaktari Bingwa wa Rais Samia pamoja na kutoa huduma za kibingwa kwa wananchi pia wametakiwa kuwajengea uwezo wataalam wanaowakuta kwenye vituo walivyopangiwa. Mkuu wa Wilaya ya…